DW KISWAHILI
- 12 April 2021: Maoni: Manifesto ya AfD ni hatari kwa Ujerumani - DW-WORLD´s Kiswahili Homepage
Chama cha siasa za mrengo wa kulia AfD kinapinga uhamiaji, Umoja wa Ulaya na pia vikwazo vilivyowekwa na serikali kuzuia virusi vya corona kusambaa. Mwandishi wa DW Hans Pfeifer anasema hatua hii ni hatari kwa Ujerumani. - 11 April 2021: Uganda na Tanzania zasaini mkataba ujenzi wa bomba la mafuta - DW-WORLD´s Kiswahili Homepage
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni wa wamesaini rasmi mkataba wa utekelezaji wa mradi wa kujenga bomba la mafuta ghafi kutoka Magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanga Tanzania. - 11 April 2021: Kiongozi wa CSU yuko tayari kuwania ukansela - DW-WORLD´s Kiswahili Homepage
Kiongozi wa chama cha kihafidhina cha CSU cha nchini Ujerumani Markus Soeder amesema yuko tayari kuwa mgombea wa ukansela wa muungano wa vyama vyama vya kihafidhina katika uchaguzi mkuu wa mwezi Septemba. - 11 April 2021: Benin wafanya uchaguzi kukiwa na wasiwasi - DW-WORLD´s Kiswahili Homepage
Raia nchini Benin wanapiga kura kwenye uchaguzi wa rais huku hali ikizidi kuwa tete, ambapo wakosoaji wanamtuhumu Rais Patrice Talon kwa kutumia mbinu chafu kuwapiku na kuwatenga viongozi wa upinzani. - 10 April 2021: Yemen: Watu 53 wauawa katika mapigano kuwania mji wa Marib - DW-WORLD´s Kiswahili Homepage
Mapigano ya kuwania jimbo muhimu la Marib nchini Yemen yamepamba moto Jumamosi yakisababisha vifo vya wapiganaji 53 wanaoiunga mkono serikali na waasi wa Houthi katika muda saa 24 zilizopita.
BBC SWAHILI
- 12 April 2021: Prince Philip: Siku Mtawala wa Edinburgh aliyofunga ndoa na Malkia na Malkia Elizabeth mwaka 1947 - BBC News Swahili - Swahili
Kwa miongo saba, wawili hao wamekuwa bega kwa bega wakilea familia yao na kutekeleza majukumu ya nchi yao. - 12 April 2021: Omegle: 'Natumika kuvutia watu kuangalia ngono mtandaoni bila kujua' - BBC News Swahili - Swahili
Wanaharakati wanasema vijana wengi hulaghaiwa mitandaoni kufanya vitu bila kujua athari yake. - 12 April 2021: Prince Philip: Mwanamfalme Harry atahudhuria vipi mazishi ya Babu yake? - BBC News Swahili - Swahili
Mtawala wa Sussex atarejea kwa mara ya kwanza Uingereza toka alipojitoa katika majukumu ya kifalme. - 12 April 2021: Iran yaapa kulipiza kisasi dhidi ya shambulio la Israeli kwenye kituo chake cha nyuklia cha Natanz - BBC News Swahili - Swahili
Afisa wa ngazi ya juu wa nyuklia nchini humo anasema kukatwa kwa umeme katika kituo cha nchi hiyo cha nyuklia cha Natanz ni " ugaidi wa nyuklia ". - 12 April 2021: Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 12.04.2021: Salah, Kane, Klopp, Fellaini, Cavani, Dybala - BBC News Swahili - Swahili
Klabu ya Leicester City ipo mbele ya Manchester United na katika mbio za kutaka kumsajili kiungo wa klabu ya Lille Boubakary Soumare, 22. - 12 April 2021: Vijana wa Kichina wanaweza kuachana na sera ya mtoto mmoja? - BBC News Swahili - Swahili
Katika miaka ya hivi karibuni imekuwa sawa kuruhusu familia 'kuwa na watoto wawili. - 11 April 2021: Buriani DMX, rapa aliyevunja rekodi - BBC News Swahili - Swahili
DMX alikuwa miongoni mwa nyota wa muziki wa rap waliofanikiwa sana nchini Marekani ingawa maisha yake binafsi yalikumbwa na changamoto nyingi.
IPS SWAHILI